Cross Bridge Realtors

Cross Bridge Realtors Cross Bridge Realtors is an independently owned and operating property consultancy company servicing Tanzanians in all real estate related businesses.

The company provides the following services;
i. Estate/Property Management & Space Marketing
ii. Property and Asset Valuation & Bar Code Register
iii. Investment Appraisal & Feasibility Study
iv. Estates Agency
v. Building Cleaning, Gardening & Maintenance Services
vi. Landscaping Designing & Architectural Drawings
vii. Land Development Advisory

KWA HUDUMA ZA UWAKIKA KATIKA MILIKI KUU (REAL ESTATE) WASILIANA NASI KWA HUDUMA ZIFUATAZO;• Uthamini wa Mali  • Uchoraji...
02/09/2017

KWA HUDUMA ZA UWAKIKA KATIKA MILIKI KUU (REAL ESTATE) WASILIANA NASI KWA HUDUMA ZIFUATAZO;
• Uthamini wa Mali
• Uchoraji ramani za nyumba
• Hati miliki ya kiwanja
• Andiko la mradi
• Uchoraji wa madhali
• Upimaji wa viwanja
• Usafi wa majengo na bustani
• Usimamizi wa majengo
• Ushauri juu ya Ardhi n.k
Tunapatikana Bima Mtwara karibu na jengo la CCM Mkoa.

Viwanja no. 170, 171 na 172 tu vinauzwa. Viko hiyari- Dangote.*Ukubwa kuanzia mita za mraba 1197 au robo heka.*Matumizi:...
22/06/2017

Viwanja no. 170, 171 na 172 tu vinauzwa. Viko hiyari- Dangote.
*Ukubwa kuanzia mita za mraba 1197 au robo heka.
*Matumizi: Makazi na Biashara
*Viko umbali wa Mita 300 kutoka barabara kuu ya Mtwara-Lindi
*Bei Tsh. 9.5 Mil maelewano yapo.
*Mnunuzi anatengenezewa hati bila gharama za ziada.
* Kwa mawasiliano 0656 355 828/0687 125 105

KARIBUNI SANA

Tunauzq viwanja vilivyopimwa katika maeneo yafuatayo;MJIMWEMAMITENGONALIENDELEViwanja vyote viko ndani ya manispaa Mtwar...
03/05/2017

Tunauzq viwanja vilivyopimwa katika maeneo yafuatayo;
MJIMWEMA
MITENGO
NALIENDELE
Viwanja vyote viko ndani ya manispaa Mtwara Mikindani.
Bei ni kuanzia 4.5mil

Kwa mawasiliano
0656 355 828
0687 125 105
0713 381 809
Au fika ofisi zetu zilizoko bima jirani na ofisi ya CCM MKOA MTWARA MJINI.

03/05/2017

Tunauza viwanja vilivyopimwa katika maeneo yafuatayo;
MJIMWEMA
MITENGO
NALIENDELE
Viwanja vyote viko ndani ya manispaa Mtwara Mikindani.
Bei ni kuanzia 4.5mil

Kwa mawasiliano
0656 355 828
0687 125 105
0713 381 809
Au fika ofisi zetu zilizoko bima jirani na ofisi ya CCM MKOA MTWARA MJINI.

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAPATIKANA ENEO LA NALIENDELE NJIA KUU INAYOELEKEA WILAYA TATU NANYAMBA, TANDAHIMBA NA NEWALA. VI...
03/05/2017

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAPATIKANA ENEO LA NALIENDELE NJIA KUU INAYOELEKEA WILAYA TATU NANYAMBA, TANDAHIMBA NA NEWALA. VIWANJA VYOTE NI UJAZO WA CHINI(SUPER LOW DENSITY), WAHI VIWANJA NI VICHACHE, WASILIANA NASI KWA NAMBA
0656 355 828 au
0713381809 au
0687 125 105

Kesho tarehe 2 mwaka huu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi atazindua *Mpango Kaba...
01/05/2017

Kesho tarehe 2 mwaka huu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi atazindua *Mpango Kabambe wa Mji wa Mtwara* (Master Plan). Zoezi hili litafanyika katika ukumbi wa Boma Mkoa ulioko Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kuanzia saa 2 asubuhi.

Kukamilika kwa Mpango huu ni hatua muhimu katika kuweka mazingira mazuri na kuruhusu uwekezaji katika Mkoa wa Mtwara hasa katika kipindi hiki ambacho Mkoa uko katika kampeini kubwa ya kuvutia wawekezaji.

Mpango huu ambao unakusudia kuupanga mji wa Mtwara kwa miaka 20 kuanzia 2015 – 2035 unajumuisha hekta 95,117 ambazo ni eneo lote la Manispaa ya Mtwara Mikindani na kata 9 za Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara. Mpango umezingatia idadi ya watu walio kwenye eneo hilo ambalo kwa sasa ni watu 170,000 huku ikitarajiwa kuwa Katika kipindi cha miaka 20 mpaka 2035 idadi ya watu itaongezeka na kufikia milioni 1.7.

Maono na malengo ya mpango huu ni kuhakikisha hadi mwaka 2035 Mtwara kinakuwa kituo muhimu cha *UWEKEZAJI* na kitovu cha huduma na shughuli muhimu za usafiri na usafirishaji katika ukanda wa mikoa ya kusini mwa Tanzania hususani mikoa ya Lindi, Mtwara Ruvuma na Njombe na ukanda wa maendeleo wa Mtwara ambao unahusisha nchi za Tanzania, Msumbiji, Malawi, Zambia na Afrika ya kusini. Pia kuifanya Mtwara kuwa Jiji lenye ustawi wa maisha shindani na majiji yaliyo kwenye ukanda wa bahari ya hindi, mashariki na kusini mwa Afrika.

Mpango Kabambe umeainisha maeneo ndani ya mradi k**a ifuatavyo;

*Eneo mahususi la Kisasa la Mjini Kati:* Kitovu cha shughuli za kisasa za biashara, huduma za kibenki, Makao Makuu ya Taasisi Mbalimbali, Hoteli, majengo marefu na ya kisasa.

*Eneo Mahususi la Naumbu:* Kitovu cha ajira kwa wakazi wa mji hasa zitokanazo na shughuli za viwanda vikubwa Hekta 10-20, Makazi yaliyopangika na kuratibiwa kwa ustadi na maeneo ya mahoteli ya kitalii.

*Eneo Mahususi la Mjimwema:* Kitovu cha huduma za elimu ya juu hasa vyuo vikuu na makazi yaliyopangwa na kuratibiwa kwa ustadi wa hali ya juu.

*Eneo mahususi la Nanguruwe:,* Kitovu cha huduma za kisasa za Afya, Viwanda vya ukubwa wa kati ya Hekta 5-9, Eneo la makazi ya kisasa yaliyopangwa na kuratibiwa kwa ustadi pembezoni ya mji, maene

28/03/2017
KWA TAARIFA ZA UWAKIKA JUU YA UWEKEZAJI KATIKA MILIKI KUU (INVESTMENT IN REAL ESTATE) TEMBELEA UKURASA WETU NA KUJIUNGA ...
25/03/2017

KWA TAARIFA ZA UWAKIKA JUU YA UWEKEZAJI KATIKA MILIKI KUU (INVESTMENT IN REAL ESTATE) TEMBELEA UKURASA WETU NA KUJIUNGA KATIKA INSTAGRAM NA FACEBOOK UTAPATA TAARIFA ZA KILA KITU JUU YA MILIKI KUU (REAL ESTATE)
1. Viwanja vinavyouzwa
2. Nyumba zinazouzwa
3. Uthamini wa mikopo ya Banki
4. Uchoraji ramani za nyumba
5. Usafi katika majengo
6. Ushauri juu ya Ardhi na majengo

KARIBUNI SANA

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAPATIKANA ENEO LA NALIENDELE NJIA KUU INAYOELEKEA WILAYA TATU NANYAMBA, TANDAHIMBA NA NEWALA. VI...
16/03/2017

VIWANJA VILIVYOPIMWA VINAPATIKANA ENEO LA NALIENDELE NJIA KUU INAYOELEKEA WILAYA TATU NANYAMBA, TANDAHIMBA NA NEWALA. VIWANJA VYOTE NI UJAZO WA CHINI(SUPER LOW DENSITY), WAHI VIWANJA NI VICHACHE, WASILIANA NASI KWA NAMBA 0713381809/0785831575

JENGO LA KISASA KWA AJILI YA KUKUPANGISHA. TUNA ENEO KUBWA KWA AJILI YA OFISI, WASILIANA NASI MAPEMA.
16/03/2017

JENGO LA KISASA KWA AJILI YA KUKUPANGISHA. TUNA ENEO KUBWA KWA AJILI YA OFISI, WASILIANA NASI MAPEMA.

JENGO LA PPF PLAZA MTWARA LINAPANGISHWA KWA AJILI YA OFISI, SEHEMU YA CHINI INA ENEO KUBWA KWA AJILI YA KUPANGISHA BENKI...
16/03/2017

JENGO LA PPF PLAZA MTWARA LINAPANGISHWA KWA AJILI YA OFISI, SEHEMU YA CHINI INA ENEO KUBWA KWA AJILI YA KUPANGISHA BENKI AU MADUKA MAKUBWA(SUPER MARKETS) KARIBU UWEZI KUJIPATIA NAFASI YAKO YA KUPANGA KATIKA JENGO LA KISASA. JENGO LIPO KATIKATI YA MJI KARIBU NA BENKI KUU NA SOKO KUU LA MTWARA. WASILIANA NASI SASA👍🏾

OFFICE SPACES IN MODERN BUILDING TO LET IN MTWARA AT AFFORDABLE COSTS.For more detailsCALL 0713 381 I09
11/03/2017

OFFICE SPACES IN MODERN BUILDING TO LET IN MTWARA AT AFFORDABLE COSTS.
For more details
CALL 0713 381 I09

Address

Bima Area
Mtwara

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 14:00

Telephone

0713381809

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Cross Bridge Realtors posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Cross Bridge Realtors:

Share

Category