23/10/2015
Naamini haya ni magari ya Ulinzi kwa ajili ya USalama wa Taifa letu tu. Siamini k**a wengine wanaodhani kuwa magari haya yameagizwa kuwashughulikia watakaopiga kura vibaya. Hahahaha ...........
Tumshukuru President wetu kwa kutuongezea ulinzi. Baada ya Uchaguzi magari haya yatumike kila kata kupunguza Panya road. Kumbe ilikuwa inawezekana kuwa na ulinzi madhubuti mapema. Awamu ya tano msicheleweshe ulinzi hadi kipindi cha uchaguzi. Vituo vya Kata vya Polisi vifunguliwe 24 hours Please.
I created this video with the YouTube Video Editor (https://www.youtube.com/editor)