mavoyo__tz

mavoyo__tz Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from mavoyo__tz, Legal, Kariakoo.

Katika maisha aya mtualee nimnyonge nimtu masikini kwani yeye thamani yake nikutumwa tu kwale waliyo nazoNabila yakujuwa...
09/12/2021

Katika maisha aya mtualee nimnyonge nimtu masikini kwani yeye thamani yake nikutumwa tu kwale waliyo nazo

Nabila yakujuwa uyouyo masiki ndiye mwenye hakili nyingi namalifa juu yamaisha yake kwaiyo usimzalau masikini kwauwo uwezo wako

Msirie wapendwa Mimi bado nipo nanyi nyi
23/03/2021

Msirie wapendwa Mimi bado nipo nanyi nyi

Taifa linapokuwa nsfura Basi uzuni inafwata sasa zamuyetu watanzania tumepata pigo kuwa stolia bali nitamku mbuka nakumu...
18/03/2021

Taifa linapokuwa nsfura Basi uzuni inafwata sasa zamuyetu watanzania tumepata pigo kuwa stolia bali nitamku mbuka nakumuombea kwamungu

15/03/2021

Tukiwa tupo kwajili yakazi mpya
kwaiyo kaeni tayari kuwipokea Maana nibonge la storyi

31/01/2021

Tujia dhari na Corona

NISTORI                           01ZAMDA   Ilikua ni asubuhi ndan ya chumba kimoja walionekana waschana watatu warembo ...
17/01/2021

NISTORI
01
ZAMDA

Ilikua ni asubuhi ndan ya chumba kimoja walionekana waschana watatu warembo wakiwa bado wamelala mmoja wao aliamka kwa uchovu na kuanza kuwaamsha wenziwe
Zamda: Jaman amkeni leo mjue zamu yetu ya usafi
Mwngne aitwaye Jane akajibu: Mimi niacheni nilale mpaka ntakapochoka mwenyewe mana jana nmehudumia vichwa vtatu kulala nmelala saa kumi kwhy niacheni kabithaa
Mwengine aitwaye Marry: Tatizo lako wewe mbishi utakuja kufa aya vichwa vnne ivyo umepata bei gan
Jane: Nna 60000 yangu kamil apa
Zamda: Aliungusha bonge la cheko) jaman mwenzenu jana nmepata zari nmekutana na mkaka mzury ana ela zake apa nmerud na laki yangu kamil harafu sasa ajanichosha sana
Jane na Marry: Weeee enhe tupe habar
Zamda: Anha ili mkaniibie vizur
Marry: Amna bhana ikawaje
Zamda: Basi uyo kaka anaitwa Adamu amenambia amenipenda kwel ananitaka eti niachane na kaz yangu nkaishi nae
Marry na Jane: kwa wivu wao) Me ata sikushauri kuacha kazi hii uyo anataka akufuje tu
Zamda: Umeona eeh ata siend ila atakua mteja wangu wa kudumu
Bas siku ilipita ulifika mda wa kwenda kwenye biashara siku iyo wakiwa wapo barabaran wanayapungia magari mikono uku wanajitingisha mara difenda ya police ilifka wenzako walifanikiwa kukimbia Zamda yeye Maskin alkamatwa bas mda anakamatwa akuwa na cm yake aliacha nyumban akapakiwa kwenye difenda moja kwa moja kituon
*****"
Upande wa pili jane na marry walirud nyumban uku wanaema wakaanza kusema
Marry: Kaz ya leo inamikosi sana yan kuja na kuja tumeingiliwa na difenda
Jane: Uku anasachi search kwny begi la Zamda)Yan apa natafuta ile namba ya uyo pedeshee wa Zamda nkamburidishe leo
Marry: Yan mwenzetu kakamatwa bado tujue tunananyeje wewe unataka ukaibe kwichwa chake
Jane: Kwan me yule nmezaliwa nae tumbo moja tumekutana katika kutafuta pesa tu( Bas Jane alifanikiwa akampigia na kuanza kuongea nae.......

Hii nikwadau wafiramu zaki Tanzania Sasa inapatikana Tz  nzima Nimpya napia inafundisha Usikose mdau wetu kwa wakwanza k...
30/12/2020

Hii nikwadau wafiramu zaki Tanzania Sasa inapatikana Tz nzima Nimpya napia inafundisha
Usikose mdau wetu kwa wakwanza kuipata hii nazingine zijazo kwa 0688739511 tuna kuunga kwenye grp Letu .......................................................
Tuna wakaribisha Sana wapendwa wetu nyote

16/12/2020

Peace ft wanachezaje
kitonga Mvuleni Ilala

16/12/2020
11/12/2020

Peace dancers ft bit
offiac Mavoyo

25/11/2020

The peace

Address

Kariakoo

Telephone

0688739511

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when mavoyo__tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to mavoyo__tz:

Share

Category