AbuuZahir

AbuuZahir AbuuZahir!

Hakika yangu si Mkamilifu kwa kila jambo na nina Madhaifu ambayo nahitajia kujifunza kutoka kwenu ila pia kwa yale ninayojifunza, Napendelea pia kushare nanyi ili tujifunze wote."MBORA WENU NI YULE MWENYE KUJIFUNZA KISHA AKAWAFUNZA NA WENGINE "

📝 *HEKIMA NA BUSARA NI MUHIMU SANA KATIKA MAISHA.*  Ni silaha tulivu inayoweza kukuvusha katika mawimbi makali ya changa...
30/04/2025

📝 *HEKIMA NA BUSARA NI MUHIMU SANA KATIKA MAISHA.*
Ni silaha tulivu inayoweza kukuvusha katika mawimbi makali ya changamoto.
Mwenye hekima huchagua maneno, mwenendo, na marafiki kwa tahadhari.
Busara hukufanya uone mbali, ukatulia pale wengine wanapochanganyikiwa.

🌟 *Kuwa mvumilivu, na tafakari kabla ya kutenda.*
Maisha yanapendeza unapoyaishi kwa maono, si kwa mihemuko.

Tupande kwa Pamoja kwenye🌳✨ MTI WA HEKIMA WENYE NURU YA MAISHA📖🌟 channel on WhatsApp: https://whatsapp.com/channel/0029Vb5yNLrFHWq75vriTE1N

ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATUH:  MUHIMU USIPTE   ANGALIA MAJIBU YA Artificial Intelligence (AI) Kuhusu Dini...
22/04/2025

ASSALAAM ALAYKUM WARAHMATULLAHI WABARAKATUH: MUHIMU USIPTE
ANGALIA MAJIBU YA Artificial Intelligence (AI) Kuhusu Dini Sahihi.
FURAHA YAKO NI KUWA DINI GANI?...... ✍️✍️✍️

NAOMBA MNISAIDIE KULIWEKA NENO HILO LIKIWA KWA MAANDISHI YA KIARABU..BISMILLAHI RRAHMAN RRAHIM. NAHITAJI MAANDISHI YAKE ...
07/02/2025

NAOMBA MNISAIDIE KULIWEKA NENO HILO LIKIWA KWA MAANDISHI YA KIARABU..BISMILLAHI RRAHMAN RRAHIM. NAHITAJI MAANDISHI YAKE YAWE KWA KIARABU.. KWA MWENYE KUWEZA

ALLAH TUFIKISHE RAMADHANI   AAAMIN    AAAMIN      AAAMIN
30/01/2025

ALLAH TUFIKISHE RAMADHANI
AAAMIN
AAAMIN
AAAMIN

💫TUMIA NGUVU NYINGI NA UFIKIRI SANA KABLA YA KUPATA MATOKEO MABAYA..     LAKINI IKITOKEA BAADA YA KUTOKEA MATOKEO MABAYA...
30/01/2025

💫TUMIA NGUVU NYINGI NA UFIKIRI SANA KABLA YA KUPATA MATOKEO MABAYA..
LAKINI IKITOKEA BAADA YA KUTOKEA MATOKEO MABAYA..... AMINI YAMETOKEA KISHA FANYA LENYE KUSTAHILI KUFANYWA.✍️✍️✍️
🗒️ Na hapo sio muda tena wa kutumia Nguvu Na Kufikiri sana juu ya yaliyotokea. Itakuumiza📌🔨🔨

28/01/2025

MOYO UMEUMBWA JUU YA KUMPENDA YULE MWENYE KUZITENDEA WEMA, NA KUMCHUKIA YULE MWENYE KUZITENDEA UOVU.
AHBIB HABIBAKA

***Kuna Unapaswa kujibeba Mwenywe Pasipo kutegemea Mtu Mwingine***     Na hapo utagundua kuwa sio kila vyote tunavyotege...
27/01/2025

***Kuna Unapaswa kujibeba Mwenywe Pasipo kutegemea Mtu Mwingine***
Na hapo utagundua kuwa sio kila vyote tunavyotegemea wengine kwamba hatuweiz, bali muda ni mwingne ni ufinyu wa fikra, mawazo na Uzembe📌🔨
and Believe Yourself ✊✊✊

19/01/2025

TUAMBIE UKWELI WA MANENO HAYO

Allah Atupe Nusra
19/01/2025

Allah Atupe Nusra

✍️✍️✍️
16/01/2025

✍️✍️✍️

25 Amliyya
15/01/2025

25 Amliyya

Address

Tanzania �
Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AbuuZahir posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category