Foundation for Legal Rights and Advocacy -Folera

Foundation for Legal Rights and Advocacy -Folera FOLERA is non governmental organisation established basing on protection of legal rights and advocacing peoples rights as provided by laws.

23/09/2025

Taarifa zinazohitajika kukusaidia kuanda tamko lako la wosia.
1.majina yako kamili k**a yanavyosomeka katika NIDA.
2.umri,dini yako
3.hali yako ya afya ya akili.
Hapa upo na afya ya akili au
unachangamoto ya afya akili.
Je unatatizo lolote la kisaikolojia ,vyema kuwa muwazi.
4.unaandika kwa hiari yako ama unalazimishwa kufanya hivyo.elezea
5.je unaishi mwenyewe au umeolewa.
6.je warithi wako ni watoto au watu wazima, Wataje kwa majina na umri wao.

7.je una miliki mali yeyote? zitaje kwa makundi haya.
A.zinazoamishika, taja

B.zisizo amishika,taja.
8.je mali hizo unazimiliki peke yako au
mnamiliki na mwenza wako.
Taja mali unazo miliki binafsi na
zile ambazo mnamiliki na mwenza au jamaa au rafiki au ndugu.
9.je una mali ambazo umezipata ndani ya ndoa? Taja
je una mali ambazo ulikuwa nazo kabla ya kuolewa, taja
10. Je mali husika zipo nchini au nje ya nchi ,taja
11. Ainisha mali na sehemu zilipo .
12. Je mali husika unazo nyaraka za umiliki wa mali hizo, mfano mikataba,hati .
13. Bainisha watu ambao unataka kuwarithisha kwa
majina ,
uhusiano wako kwake,
umri, na
Kwa asilimia unazotaka wapate katika mgawanyo huo.
14. Bainisha msimamizi wa wosia kipindi ukiwa haupo ,
taja jina lake,
umri ,
uhusiano wake kwako,
na sababu za kumchagua mf ni mwadilifu,mnapendana ,ni damu moja ,ni mtumishi wa kanisa ni mtu mwenye maadili.
15. Bainisha mashaidi utakao taka washuhudie wosia wako na kusaini ambao watashuhudia maelekezo yako kipindi haupo au umekata kauli.taja majina yao sharti wawe watu wazima.
(hapa wanatakiwa awe ndugu mmoja ,rafiki mmoja na mtu baki mmoja ,mashaidi wanatakiwa watoke katika makundi tofauti ili kuleta usawa katika taarifa).
16. Baada ya kugawa mali zako ,ni vyema ukatoa sababu ya kwa nini umegawa kulingana na ulivyotaka hii ni nzuri inaonesha wazi haukubagua ,haukulazimishwa na ulitenda hayo kwa kadri ya mapenzi yako na utashi wako.
17. Unaweza mshirikisha mwenza wako au la pia utoe sababu kwa nini haujapenda kumshirikisha kuandaa wosia .
sababu utakayo itoa itasaidia kujua dhamila yako na vile ambavyo ulimpima mwenza wako kwa kadri ya tabia ,maamuzi ,na namna ya kulinda mali tajwa...hivyo itapunguza kuwa na hoja za kupinga wosia kwa hoja za upungufu wa akili au chuki binafsi ,kwa kuwa umeweka sababu bayana inaonesha ulikuwa reasonable and sound mind wakati unaanda wosia.
18. Bainisha wosia wako ungependa uhifadhiwe wapi ? Mf rita,kanisani,mahak**ani ,bank au kwa mtu binafsi mf msimamizi wa wosia au mwanasheria nk
19. Hakikisha nyaraka zote za mali ni sahihi na hazina dosari kabla ya kugawa na unazimiliki kialali kwa mujibu wa sheria.
20. Epuka kugawa mali za kurithi ambazo ni za jumuiya pasipo kubainisha kwa maelezo ya kina namna ambavyo una uhalali nazo.
21. Kumbuka kusema warithi wakabidhiwe mali husika katika wosia wakifikisha umri gani.k**a wanao rithi ni watoto wadogo .
22. Kumbuka kubainisha mapato yote yatakayotokana mali zako ambazo umewarisisha watoto zitumikeje na kwa utaratibu upi mpaka ambapo watoto watakapofikia uwezo wa kukabidhiwa interm of age and ability to control the property.maelezo k**a ifunguliwe akaunti ya watoto au mtoto juu ya mahitaji yake ni muhimu.
23. Custodian of child ni muhimu kubainisha ukiwa haupo watoto au mtoto wako akae na nani na kwa nini na ikitokea kuna shida nani aseme maamuzi ya mwisho juu ya hatima ya mali na uangalizi wa watoto wakati umri wa watoto ukisubiria kufika waweze kukabidhiwa mali ulizo warisisha.
24. MTANGULIZE MUNGU KATIKA HATUA HII, ILI AKUONGOZE UANDAE WOSIA WAKO KWA HEKIMA NA HAKI .

Wako katika sheria kwa niaba ya BRILLIANT PARTNER ESQ.
CLEMENCE NGOWI
0714751918

Call now to connect with business.

Does your institution make use of the online platforms to reach its audience?sponsored by As we are approaching the *202...
18/08/2023

Does your institution make use of the online platforms to reach its audience?
sponsored by

As we are approaching the *2023 International Day for Universal Access to Information in Tanzania* on the 28th September, Please spend your minute to fill this short questionnaire to improve access to information through the use of online social media platforms.

Your answers will assist us to assess and evaluate the state of access to information and the use of social media in Tanzania.

*_Online Spaces: A Catalyst for Access to Information for all_*
πŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎπŸ‘‡πŸΎ

The International Day for Universal Access to Information (IDUAI) holds significant importance as it emphasizes the fundamental right and essential tool of access to information. Media Institute of Southern Africa - Tanzania (MISA-TAN) and Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) have come....

Are you a human rights defender providing legal aid servises in Unguja and Pemba ?    Empower yourself with our Continue...
15/08/2023

Are you a human rights defender providing legal aid servises in Unguja and Pemba ? Empower yourself with our Continued Legal and Human Rights Education course on Legal Aid Provisions. Join us for two impactful days on 23rd & 24th August 2023 at the Zanzibar University Enhance your skills, improve your capacity, network with like-minded individuals, and make legal aid for all Limited spots available, apply now! Click here ➑️ https://humanrightsinstitute.ac.tz/

JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI DAR ES SALAAM -2023tupo live
28/07/2023

JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI DAR ES SALAAM -2023
tupo live

JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI DAR ES SALAAM -2023tupo live
28/07/2023

JUKWAA LA MWAKA LA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI DAR ES SALAAM -2023
tupo live

03/11/2022

TANGAZO LA KUPOTELEWA KWA VYETI

TAARIFA YA KUPOTELEWA NA VYETI

kwa yeyote ambaye atasikia au kuviona vyeti vya ndugu VICTORIA AURELIAN ALOYCE

AMBAVYO VIMEPOTEA katika bus la
kilimanjaro 3/11/2022 lilikuwa linatokea dsm to arusha
aina ya begi ni la kijivu la mgongoni

jina la mwenye vyeti ni

VICTORIA AURELIAN ALOYCE/ VICTORIA A. ALOYCE
vitu ni
-university certificate-IFM
university transcripts-IFM
-vyeti vya form 6 na 4-Marian girls bagamoyo
-Birth certificate,
-laptop na charger yake

kwa yeyote atakayeviokota ama kusikia tunaomba uwasiliane kwa no
0787859810
068 915 6050
0714751918

kwa mawasiliano zaidi

Tunatanguliza shukrani zetu za dhati

pata elimu ya maarifa ili usiteseke na kupoteza haki zako kesho ni siku ya jumapili book upate usaidizi wa jambo linalok...
02/04/2022

pata elimu ya maarifa ili usiteseke na kupoteza haki zako
kesho ni siku ya jumapili book upate usaidizi wa jambo linalokutatiza ,
wasiliana nasi
mda kuanzia saa 09:00 am -asubuhi
piga na upate maelekezo kamili
andaa swali au mada yako na utume
wasiliana kwa call and text only
0714751918
KNOW YOUR RIGHT AND LIVE COMFORTABLE WITH CONFIDENCE

mambo ya kuzingatia unapofanya manunuzi 1.epuka kununua bidhaa yenye gharama kwa bei nafuu bei ya kutupwa ,kuna uwezekan...
29/11/2021

mambo ya kuzingatia unapofanya manunuzi

1.epuka kununua bidhaa yenye gharama kwa bei nafuu bei ya kutupwa ,kuna uwezekano mkubwa ukanunua kitu cha wizi .

2.kumbuka kudai risiti iwe ya mkono au electronic risit kwa kuwa na risit kuna kufanya kuwa mnunuzi unaejali lakini piah inakulinda na kukutwa na makosa ya kukwepa kulipa kodi au kuwa na bidhaa zilizoingizwa bila utaratibuivyo unakuwa salama na mali uliyonunua.

3.epuka sana kuweka sahihi katika makubaliano ambayo ujasoma zaidi sana usikubali hoja yeyote katika mkataba ambayo haujaelewa inalenga nini hasa .

4.epuka sana kununua bidhaa mkononi kwa mtu amabae ni mpita njia kuwa destiri ya kununua mali zako katika sehemu zinazotambulika itakuepusha na makosa ya kununua mali ya wizi .

kwa kifupi kabisa tuzingatie namna sahihi za manunuzi yaliyo salama.
imewasilishwa
@0714751918 wasiliana kwa msaada zaidi ni bure

Address

Ubungo Kona
Dar Es Salaam
255

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Foundation for Legal Rights and Advocacy -Folera posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Foundation for Legal Rights and Advocacy -Folera:

Share