X-plus Institute

X-plus Institute The school of paralegal education and training, computer training, business education and enterpreneurship.

The school is owned and run by the X-PLUS INSTITUTE, an educational and training institution which is duly registered as BN NO. 187981 in the index of registration on the 9th day of February 2009. The school of paralegal is one of the several educational and training programmes X-PLUS INSTITUTE intends to establish in the future. X-PLUS INSTITUTE is a private institution established to supplemen

t national and community efforts in promoting educational, training and research programmes in areas relevant to community as well as national development. The school of paralegal education and training is one of such programmes.

03/07/2018

HOSPITALI 28 za rufaa na mikoa nchini zenye watumishi 8,671 na vitanda 7,474 zimeanza kusimamiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto tangu juzi Julai 1, 2018.

03/07/2018

Mwanamke mmoja nchini Afrika Kusini amezua taharuki baada ya kupatikana akiwa hai katika jokofu la kwenye chumba cha kuhifadhia maiti.

03/07/2018

Rédoine Faïd, ni mfungwa sugu ambae anafahamika vema katika ofisi za magereza nchini Ufaransa. Mfungwa huyo kwa mara nyingine ametoroka magaereza kwa kutumia helikopta Jumapili majira ya asubuhi.

03/07/2018

Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini Australia, amefungwa jela miezi 12 kwa kutoripoti kesi za unyanyasaji wa kingono dhidi ya watoto miaka ya 1970, zilizofanywa na kasisi wa Kanisa hilo.

03/07/2018

Viongozi wa Umoja wa Afrika wamekubaliana kuunda bodi maalum itakayosaidia, kushughulikia masuala ya wahamiaji lakini pia kuthathmini sera za uhamiaji katika mataifa ya Afrika.

03/07/2018

Kampani ya bahati nasibu, Betway ya nchini Uganda imetangaza kushirikiana na msanii wa miondoko ya regge, Bebe Cool kwa kumchangia kiasi cha Milioni 20 pesa za Kiganda kuhakikisha anafanikisha tamasha lake kwa ajili ya kuchangia watoto wenye matatizo ya moyo.

03/07/2018

Mwanadada Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hana muda wa mapenzi tena na yameshamchosha kwahiyo anaona bora achane nayo na kubaki kuwa single kuliko kuenedelea kukaa katika mapenzi kwa sababu sio mapya na hayamuingizii kitu chochote katika maisha yake.

03/07/2018

The endangered Grevy’s Zebras have defied all odds, increasing in number from 2,350 in 2016 to 2,812 in January 2018, results from the latest count show.

03/07/2018

Msanii mkubwa na wa siku nyingi Ambwene Yesaya inawezekana akawa na mjengo mkubwa nje ya nchi hii ikisemekana kuwa nyumba hiyo inapatikana katika jiji la Florida nchini Marekani.

03/07/2018

Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM) Mh Stephen Hilary Ngonyani (Profesa Maji marefu) afariki dunia. Amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umethibitisha.

03/07/2018

James Maina Mwangi ni mzaliwa wa Muranga kati kati mwa Kenya anasema aliondoka nyumbani kwao na kuelekelea jijini Nairobi kutafuta riziki akiwa na umri wa miaka 12 baada ya kusoma hadi darasa la sita.

13/06/2018

Msanii wa Bongo Gift Stanford maarufu k**a Gigy Money amerudi tena Kwenye headlines huku safari hii akidai Baba wa mtoto wake MK staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Address

Samora Avenue/Mirambo 50 Street
Dar Es Salaam
P.OBOX14814

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when X-plus Institute posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to X-plus Institute:

Share