FahariArdhi Projects

FahariArdhi Projects Wauzaji Bora wa Viwanja na Mashamba katika maeneo tofauti tofauti ndani na nje ya Dar es salaam .

Huduma zetu ni bora kabisa na malipo yetu ni kidogo kidogo na mteja anapomaliza malipo ya kiwanja chake anapewa Hati miliki

0767927758

🏑 VIWANJA VIKINDU KISAYANI – LAKI 7 TU UNAMILIKI!Fursa nyingine kabambe kutoka Delta Capital Group! Umiliki wa ardhi hau...
12/08/2025

🏑 VIWANJA VIKINDU KISAYANI – LAKI 7 TU UNAMILIKI!
Fursa nyingine kabambe kutoka Delta Capital Group! Umiliki wa ardhi haujawahi kuwa rahisi hivi! πŸ”₯

πŸ“ Mradi upo Vikindu Kisayani, km 12 kutoka Vikindu Center
βœ… Huduma zote muhimu zipo karibu – shule, maji, umeme
πŸ“ Viwanja vyote vina ukubwa wa futi 50 kwa 50
πŸ’° Bei ya kiwanja kimoja ni TZS 700,000 tu
πŸ—“οΈ Lipa kidogo kidogo – 100,000 tu kwa mwezi kwa miezi 7
🚐 Ziara za kwenda site ni kila Jumamosi

Hii ni nafasi bora kwa vijana, wafanyakazi, na wafanyabiashara kuwekeza kwenye ardhi yenye uhakika wa hati na mazingira salama kwa maisha au ujenzi wa nyumba ya biashara.

πŸ“ Ofisi: Rita Tower, Posta – Dar es Salaam
πŸ“²
πŸ“ž 0783763575
🏒 Delta Capital Group Ltd – Wataalamu wa Ardhi Tanzania

VIWANJA MAKURUNGE BAGAMOYO – FURSA YA KIPEKEE!Unasubiri nini kumiliki kiwanja chenye utulivu, bei rafiki na hati halali?...
11/08/2025

VIWANJA MAKURUNGE BAGAMOYO – FURSA YA KIPEKEE!
Unasubiri nini kumiliki kiwanja chenye utulivu, bei rafiki na hati halali? Hii hapa nafasi yako! 🏑✨

πŸ“ Makurunge Bagamoyo, njia panda ya kuelekea Saadani

πŸš— Km 3 tu kutoka barabara ya lami

🌍 Eneo lenye utulivu, huduma za kijamii karibu, na linalokuwa kwa kasi

πŸ’° Bei ni TZS 7,000 tu kwa sqm

πŸ“ Viwanja kuanzia sqm 800 na kuendelea

πŸ—“οΈ Lipa kidogo kidogo kwa miezi 20 – fursa kwa kila mtanzania

πŸ“Œ Ziara za site ni kila Jumamosi

Hakuna dhamana kubwa k**a kumiliki ardhi. Njoo uanze ndoto yako ya ujenzi au uwekezaji hapa Makurunge kwa bei isiyopatikana kokote!

πŸ“²
🏒 Delta Capital Group Ltd
πŸ“ Rita Tower – Posta, Dar es Salaam
πŸ“ž 0783 763 575

MILIKI LEO KIWANJA CHAKO BAGAMOYO MAKURUNGE KWA BEI NAFUU NA MALIPO KIDOGO KIDOGOπŸ‘‡πŸ½πŸ“ Eneo: Makurunge, Bagamoyo – karibu ...
11/08/2025

MILIKI LEO KIWANJA CHAKO BAGAMOYO MAKURUNGE KWA BEI NAFUU NA MALIPO KIDOGO KIDOGOπŸ‘‡πŸ½

πŸ“ Eneo: Makurunge, Bagamoyo – karibu na njia panda ya Saadani
πŸš— Umbali: 2.7km kutoka barabara ya lami
πŸ“ Ukubwa: Kuanzia 400 sqm
πŸ’° Bei: 6,000 TZS kwa sqm
⏳ Malipo: Mpaka miezi 10, malipo kidogo kidogo
πŸ™ Huduma za kijamii: Shule, hospitali, umeme, maji karibu
πŸ›  Huduma za kampuni: Ardhi imepimwa, hati zinapatikana baada ya malipo kukamilika
πŸ“… Ziara: Kila Jumamosi
☎️0783763575

β€œKilimo ni chanzo cha maisha – kinatoa chakula, kipato, ajira, na huchangia ukuaji wa uchumi. Ukiwekeza shambani leo, un...
11/08/2025

β€œKilimo ni chanzo cha maisha – kinatoa chakula, kipato, ajira, na huchangia ukuaji wa uchumi. Ukiwekeza shambani leo, unavuna faida kesho.

πŸ“ŒEneo kiwangwa Bagamoyo

πŸ“ŒUkubwa kuanzia hekari 1

πŸ“ŒBei 1,500000 na utalipia 100000 kila mwez ndani ya miez 15

πŸ“ŒMazao Mananasi, Mahindi, Mihogo n.k

πŸ“ŒUmbali Km9 kutoka barabara kuu ya msata

πŸ“ŒHuduma Ardhi imepimwa na hati zinapatikana

πŸ“ŒSite ni siku yeyote

πŸ“ŒMawasiliano zaid 0783763575

πŸ“ŒKARIBU

🌱 UNATAFUTA SHAMBA LAKO MWENYEWE?Sasa kwa laki 1 tu kwa mwezi, unamiliki hekari yako ya shamba Kiwangwa Bagamoyo! πŸ”₯πŸ“ Ipo...
07/08/2025

🌱 UNATAFUTA SHAMBA LAKO MWENYEWE?
Sasa kwa laki 1 tu kwa mwezi, unamiliki hekari yako ya shamba Kiwangwa Bagamoyo! πŸ”₯

πŸ“ Ipo Kijiji cha Mkenge, km 9 tu kutoka barabara kuu ya Bagamoyo–Msata
βœ… Ardhi yenye rutuba ya hali ya juu
🌽 Inafaa kwa kilimo cha mananasi, mahindi, mihogo, migomba na zaidi
πŸ“ Kila shamba limepimwa, ukubwa ni hekari moja
πŸ’° Bei ya hekari ni TZS 1,500,000
πŸ—“οΈ Lipa kidogo kidogo – laki 1 kwa mwezi kwa miezi 15 tu!
🚐 Ziara za site kila Jumamosi

Huu ni uwekezaji sahihi kwa mkulima, mfanyabiashara, au mtu yeyote anayetamani miliki ardhi kwa maendeleo ya sasa na baadaye.

πŸ“ Ofisi zetu: Rita Tower, Posta - Dar es Salaam
πŸ“²
πŸ“ž 0783 763 575
🏒 Delta Capital Group Ltd – Wataalamu wa Ardhi Tanzania

VIWANJA MAKURUNGE BAGAMOYO – FURSA YA KIPEKEE!Unasubiri nini kumiliki kiwanja chenye utulivu, bei rafiki na hati halali?...
05/08/2025

VIWANJA MAKURUNGE BAGAMOYO – FURSA YA KIPEKEE!
Unasubiri nini kumiliki kiwanja chenye utulivu, bei rafiki na hati halali? Hii hapa nafasi yako! 🏑✨

πŸ“ Makurunge Bagamoyo, njia panda ya kuelekea Saadani

πŸš— Km 3 tu kutoka barabara ya lami

🌍 Eneo lenye utulivu, huduma za kijamii karibu, na linalokuwa kwa kasi

πŸ’° Bei ni TZS 7,000 tu kwa sqm

πŸ“ Viwanja kuanzia sqm 800 na kuendelea

πŸ—“οΈ Lipa kidogo kidogo kwa miezi 20 – fursa kwa kila mtanzania

πŸ“Œ Ziara za site ni kila Jumamosi

Hakuna dhamana kubwa k**a kumiliki ardhi. Njoo uanze ndoto yako ya ujenzi au uwekezaji hapa Makurunge kwa bei isiyopatikana kokote!

πŸ“²
🏒 Delta Capital Group Ltd
πŸ“ Rita Tower – Posta, Dar es Salaam
πŸ“ž 0783 763 575

🌳 Makurunge Bagamoyo – Ardhi yenye fursa isiyoisha! 🌳Unatafuta kiwanja cha bei nafuu na malipo rahisi?Makurunge Bagamoyo...
05/08/2025

🌳 Makurunge Bagamoyo – Ardhi yenye fursa isiyoisha! 🌳

Unatafuta kiwanja cha bei nafuu na malipo rahisi?
Makurunge Bagamoyo inakupa:
βœ… Bei ya kushangaza – 6,000 TZS kwa sqm
βœ… Ukubwa kuanzia 400 sqm
βœ… Malipo miezi 10 kidogo kidogo
βœ… Huduma za kijamii karibu

Kamilisha malipo upate hati yako halali bila usumbufu!
πŸš— Ziara ni Jumamosi – Jiunge nasi na uone fursa zako zikiwaka!

πŸ“ž Wasiliana nasi sasa: 0783 763 575
πŸ“ Delta Capital Group – Fahari ya Ardhi Yako

🌱 Umiliki Ardhi Yenye Rutuba Kiwangwa! 🌱Unatafuta shamba lenye rutuba kwa kilimo cha mananasi, mahindi, mihogo na migomb...
05/08/2025

🌱 Umiliki Ardhi Yenye Rutuba Kiwangwa! 🌱

Unatafuta shamba lenye rutuba kwa kilimo cha mananasi, mahindi, mihogo na migomba?
Delta Capital Group inakuletea hekari 1 Kiwangwa Bagamoyo kwa bei nafuu 1,500,000 TZS tu!

βœ… Malipo kidogo kidogo miezi 15
βœ… Ziara za site kila Jumamosi
βœ… Tunakusaidia hadi upate hati yako halali

Simu: 0783 763 575 ☎️
Instagram:

πŸ’š Ingia kwenye uwekezaji wa ardhi leo, kesho utashukuru!

🌿 MILIKI  SHAMBA LAKO KIWANGWA BAGAMOYO  SASA! 🌿Unatafuta shamba lenye rutuba kwa ajili ya kilimo chenye tija? Mradi wet...
06/06/2025

🌿 MILIKI SHAMBA LAKO KIWANGWA BAGAMOYO SASA! 🌿

Unatafuta shamba lenye rutuba kwa ajili ya kilimo chenye tija? Mradi wetu wa Mashamba Kiwangwa – Bagamoyo ndio suluhisho lako!

πŸ“ Mahali: Kiwangwa, Bagamoyo
πŸ“ Ukubwa: 1 EKARI
πŸ’° Bei: TZS 1,500,000 tu
πŸ“† Malipo kwa Miezi 15: TZS 100,000 tu kwa mwezi!

πŸ”Ή Ardhi nzuri kwa mazao k**a mananasi 🍍, mahindi 🌽, migomba 🍌 na zaidi!
πŸ”Ή Umeme na maji vinapatikana jirani
πŸ”Ή Miliki rasmi kwa hati ya mauziano
πŸ”Ή Hakuna dalali – unanunua moja kwa moja kutoka kwa kampuni ya kuaminika

🚜 Hii ni fursa adhimu kwa wakulima, wawekezaji na watu wanaotafuta kipato cha muda mrefu kupitia kilimo.
πŸ‘‰ Usisubiri tena – Ekari hazisubiri mtu!

πŸ“ž Piga sasa: 0741 667788
πŸ“ Tembelea ofisi zetu: Posta – Rita Tower
πŸ“© Au tuma DM sasa tukuhudumie haraka!

MRADI MPYA WA MASHAMBA KIWANGWA - BAGAMOYO!Unatafuta shamba kubwa, lenye rutuba na bei nafuu?Delta Capital Group imekule...
03/06/2025

MRADI MPYA WA MASHAMBA KIWANGWA - BAGAMOYO!

Unatafuta shamba kubwa, lenye rutuba na bei nafuu?

Delta Capital Group imekuletea mradi maalum wa mashamba Kiwangwa, Bagamoyoβ€”eneo linalofaa kwa kilimo k**a vile maembe, mahindi, mananasi, ndizi na zaidi!

Bei: Shilingi 1,500,000 kwa eka moja tu

Malipo: Kwa miezi 15 (malipo ya 100,000 kwa mwezi)

Eneo: Karibu na huduma muhimu – umeme, maji, na barabara

Umiliki halali: Hati na makubaliano halali kabisa

Safari za kwenda kuona mradi ni kila jumamosi

Hii ni fursa adhimu kwa wakulima, wawekezaji na mtu yeyote anayetaka ardhi yenye tija.

Usikose! Miliki shamba lako leo.

Tembelea ofisi zetu Posta, Rita Tower au piga 0741 667788.

Delta Capital Group – Tunakupeleka mbali!

☎️ 0741 66 77 88

MIRADI WA VIWANJA BAGAMOYO  MAKURUNGE BLOCK "S"ENEO: Mradi upo Makurunge Bagamoyo, upande wa kushoto ukitokea Bagamoyomj...
23/05/2025

MIRADI WA VIWANJA BAGAMOYO MAKURUNGE BLOCK "S"

ENEO: Mradi upo Makurunge Bagamoyo, upande wa kushoto ukitokea Bagamoyo
mjini,

HUDUMA 2A KIJAMII: Mradi upo karibu na huduma 2ote 2a kijamii ikiwemo
umeme, maji, kituo Cha afya, shule pamoja na Majirani wakutosha

UMBALI : Mradi upo MITA 800 tu kutoka barabara ya rami.

GHARAMA/ BEI: Bei ya sam 1 ni shilingi 6500/ Tu,

MUDA WA MALIPO : Muda wa malipo ni miezi 8, anza 20% Malipo ya awali kisha
endelea kulipia kidogo kidogo,

UKUBWA WA VIWANJA; Vinaanzia Sqm 450

KUONA MRADI: Safari ya kwenda kuuona mradi ni kila siku

Project Name: MAKURUNGE 'S'
Area; Makurunge - Bagamoyo
Distance: 8 meters from Main road,
Price per Sam; Tsh,6,500/=
Payment Duration: 8 month installments, 30% down payment.
Plots sizes; Start with 450 Sam and above.
Social services: All in place including electricity.
Site visit ; Everyday

Contact : 0741 66 77 88

Mpango weko wa uwekezaji ni upi?
05/05/2025

Mpango weko wa uwekezaji ni upi?

Address

Makumbusho
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FahariArdhi Projects posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category