14/04/2026
WAHI FURSA MAENEO YANAZIDI KUADIMIKA!
01. MRADI WA VIANZI CHANG'OMBE. (Vimebaki 15 tu)
■ Upo Km 3
kutokea Vianzi mwisho
■ Usafiri wa bajaji upo
■ Majirani wapo!
■ Umeme upo karibu
■ Maji yapo site & Eneo tambarare.
■ Bei ni Tzs. 2,300,000/= tu
■ Unaruhusiwa kulipa kwa awamu.
02. KISEMVULE OBEYCITY
Ukubwa wa viwanja unaanzia Sqm 200, 400, 600,800+
●KWA SQM 200
Bei ni Tzs. 1,600,000/= tu
👉 Lipa kwa awamu
Anza na 1,000,000/= malizia ndani ya miezi 3
📍 Km 5 kutoka barabara ya lami bajaji zinafika jirani kabisa na site.
🌱 Eneo tambarare sana, huduma za kijamii zipo
OFISI : Vikindu Magogo Matatu
TUPIGIE:
0747141871
0615001500
Jiunge sasa kwa Ofa kemkem za viwanja Vyetu👇
0747 141 871