01/08/2021
%"I LOVE YOU MY FREND"% "Siku moja marafik tutatengana kutokana na sababu mbalmbal.
Tutakumbuka stor,utan na kila kitu. Siku zitapita na kuwa miaka,lakin itakua adimu kujirudia tena.
Cku 1 watoto wetu watatazama picha zetu na kukuuliza,"Hawa walikua ni akina nani?"
Watakuumiza Moyo na macho yako yatajaa machoz na utawaambia "WALIKUWA MARAFIK ZANGU, Hawa Wa3 Wa Kushoto Ni Marehemu, Na Huyu Ni Mzee Na Wa Mwisho Sijui Hata Aliko.
Mimi kamwe sito kusahau rafik yangu ktk uhai wangu