17/12/2022
Simu 0659 962452 na 0757 667050
Ofa ofa ofa ya mradi mpya uitwao Gezaulole Muongozo Dungu Farm Project. Mradi upo umbali wa kilometa 19 kutoka Feri, na Viwanja vipo karibu na Ofisi ya Mkuu wa wilaya Kigamboni mita 400 kutoka baharini na kilometa 1 kutoka barabara ya lami. Kuna huduma zote k**a maji, umeme, shule, hospital n.k Viwanja vimepimwa na vinatambalika serikarini, vina ukubwa wa mita za mraba 500 (mita25kwa20), 600, hadi 1000. Tunauza mita 1 ya mraba Tsh 18000/=. Malipo ni cash au kwa awamu unalipa nusu inayobaki unamalizia ndani ya miezi Mmoja.
PIA TUNA MIRADI KIGAMBONI SEHEMU ZIFUATAZO
Mwasonga bei ya Sqm 1 Tsh 5,000/=
Mwembe Mdogo Sqm 1 Tsh 10,000/=
Kisarawe II Kigogo bei Sqm 1 Tsh 18,000/=
Cheka Avic town Sqm 1 Tsh 25,000/=
Gezaulole club ya yanga Sqm 1 Tsh 25000/=
Kisarawe II magengeni bei Sqm 1 Tsh 27000/=
Kibada jirani na CRDB Sqm 1 Tsh 37,000/=
Ungindoni Kibada Sqm 1 Tsh 40,000/=