30/03/2022
Nyumba Inauzwa kwa amri ya Mahakama, Ni Mali ya Wanandoa, Iko Maina karibu kabisa na Maina Primary Mwanza. Yapo Majengo Manne ndani ya Boma husika, haina kelele Baada ya ununuzi, Wanandoa wote wameridhia Mali Yao iuzwe kila mmoja abebe kilicho chake. Nitafute kwenye namba hii 0768-588155.