26/04/2026
Hivi ndivyo tulivyomaliza siku tatu za huduma ya msaada wa kisheria pamoja na elimu kuhusu maswala ya ukatili wa kijinsia iliyofanyika Bunju A, tunashukuru wananchi wote waliokuja kupata msaada wa kisheria na elimu iloyotolewa toka tarehe 23-25 April, asante wadau wetu tulioshirikiana nao pamoja na ofisi ya kata Bunju na ofisi za serikali ya mtaa. Huu ulikua mwanzo mzuri wa ushirikiano katikata kuhakikisha tunakua na jamii salama.