Isaac Mlewa

Isaac Mlewa Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Isaac Mlewa, Legal, Mlandiz, Dar es Salaam.

UMUHIMU WA TATHMINI.Miongoni mwa changamoto kubwa ninazoziona kwa vijana wengi siyo kukosa maono, siyo ukosefu wa maleng...
27/08/2025

UMUHIMU WA TATHMINI.

Miongoni mwa changamoto kubwa ninazoziona kwa vijana wengi siyo kukosa maono, siyo ukosefu wa malengo, wala siyo mtaji au wateja. Tatizo kubwa ni hili: kukosa tathmini — kabla, wakati, na baada ya kila hatua wanayopiga.

Tathmini ni mchakato wa kupima thamani, gharama au matokeo ya jambo. Kwa lugha rahisi, ni upimaji au uchambuzi.

Mara tu unapobaini kusudi lako na ndoto unazotaka kuzitimiza, hatua ya kwanza kabisa ni kujiuliza:

👀Je, maono yangu ni makubwa au madogo kiasi gani?

🤠Naweza kuutimiza vipi kwa usahihi?

⌚Utachukua muda gani?

💰Thamani yangu ya sasa ni ipi, na ninakusudia kufikia thamani gani?

🤔Nipo na watu wa aina gani, na watasaidia au kuharibu maono yangu?

Maswali haya ndiyo husaidia kuhesabu gharama ya maono. Ukishindwa kuyapima kwa makini, unaweza kupoteza ndoto yako kabisa.

Ni bora uchelewe kuanza biashara, uwekezaji, au hata uhusiano wa ndoa, kuliko kuingia bila tathmini ya kina.

✅Usioe au kuolewa bila tathmini ya gharama.

✅Usiachane na kazi ili kujiajiri bila kutathmini matokeo.

✅Usiharakishe kuwekeza fedha kwenye biashara usiyoijaribu bila tathmini.

✅Na usikimbilie kukosoa mifumo, serikali au taasisi bila tathmini ya matokeo yake.

📌📌mwalimu mmoja alisema: “Mbegu moja inaweza kutoa 30%, 60% au hata 100%. Lakini kosa dogo kwa kukosa tathmini linaweza kukugharimu mavuno yote.”

Hata Yesu Kristo alifundisha kanuni hii katika Luka 14:28-30:

> “Kwa maana ni yupi kati yenu, akitaka kujenga mnara, asiyeketi kwanza na kuhesabu gharama, kwamba ana vya kutosha kukamilisha?
baada ya kuuweka msingi, naye hawezi kuumaliza, wote wamwonapo waanze kumdhihaki,
wakisema, Mtu huyu alianza kujenga, naye hakuweza kumaliza.” (Luka 14:28-30)

So,
Matokeo ya kutofanya tathmini ya kina kabla ya hatua fulani ni mabaya na hayatoishia tu kukuathiri binafsi lakini hata jamii na ulimwengu unaokuzunguka utashuhudia na kukucheka kwa dharau ....

Na mimi pia sitasita kujumuika nao ,Tutakucheka tu😂😂

Rest in peace Pope Francis,Eternal rest grant to him oh Lord and your eternal light shine upon him.
21/04/2025

Rest in peace Pope Francis,

Eternal rest grant to him oh Lord and your eternal light shine upon him.

29/03/2025

YOU ARE THE ONE TO MAKE IT HAPPEN

25/01/2025

Micah 7:8
[8]Rejoice not against me, O mine enemy: when I fall, I shall arise; when I sit in darkness, the LORD shall be a light unto me.
Usifurahi juu yangu, Ee adui yangu; niangukapo, nitasimama tena; nikaapo gizani, BWANA atakuwa nuru kwangu.

20/10/2024
27/09/2024

Psalms 20:1-9

BWANA akujibu siku ya dhiki, Jina la Mungu wa Yakobo likuinue.

Akupelekee msaada toka patakatifu pake, Na kukutegemeza toka Sayuni.

Azikumbuke sadaka zako zote, Na kuzitakabali dhabihu zako.

Akujalie kwa kadiri ya haja ya moyo wako, Na kuyatimiza mashauri yako yote.

Na tuushangilie wokovu wako, Kwa jina la Mungu wetu tuzitweke bendera zetu. BWANA akutimizie matakwa yako yote.

Sasa najua kuwa BWANA amwokoa masihi wake; Atamjibu toka mbingu zake takatifu, Kwa matendo makuu ya wokovu Ya mkono wake wa kuume.

Hawa wanataja magari na hawa farasi, Bali sisi tutalitaja jina la BWANA, Mungu wetu.

Wao wameinama na kuanguka, Bali sisi tumeinuka na kusimama.

BWANA, umwokoe mfalme, Utuitikie siku tuitayo.

08/09/2024

Deuteronomy 11:18-21
[18]Therefore shall ye lay up these my words in your heart and in your soul, and bind them for a sign upon your hand, that they may be as frontlets between your eyes.
Kwa hiyo yawekeni maneno yangu mioyoni mwenu na rohoni mwenu; yafungeni yawe dalili juu ya mikono yenu, nayo yatakuwa k**a utepe katikati ya macho yenu.
[19]And ye shall teach them your children, speaking of them when thou sittest in thine house, and when thou walkest by the way, when thou liest down, and when thou risest up.
Nayo wafunzeni vijana vyenu kwa kuyazungumza uketipo katika nyumba yako, na utembeapo njiani, na ulalapo, na uondokapo.
[20]And thou shalt write them upon the door posts of thine house, and upon thy gates:
Tena yaandike juu ya miimo ya nyumba yako, na juu ya malango yako;
[21]That your days may be multiplied, and the days of your children, in the land which the LORD sware unto your fathers to give them, as the days of heaven upon the earth.
ili siku zenu zifanywe nyingi, na za vijana vyenu nao, juu ya nchi BWANA aliyowaapia baba zenu kuwa atawapa, k**a zilivyo siku za mbingu juu ya nchi.

08/09/2024

Isaiah 40:3-5
[3]The voice of him that crieth in the wilderness, Prepare ye the way of the LORD, make straight in the desert a highway for our God.
Sikiliza, ni sauti ya mtu aliaye, Itengenezeni nyikani njia ya BWANA; Nyosheni jangwani njia kuu kwa Mungu wetu.
[4]Every valley shall be exalted, and every mountain and hill shall be made low: and the crooked shall be made straight, and the rough places plain:
Kila bonde litainuliwa, Na kila mlima na kilima kitashushwa; Palipopotoka patakuwa pamenyoka, Na palipoparuza patasawazishwa;
[5]And the glory of the LORD shall be revealed, and all flesh shall see it together: for the mouth of the LORD hath spoken it.
Na utukufu wa BWANA utafunuliwa, Na wote wenye mwili watauona pamoja; Kwa kuwa kinywa cha BWANA kimenena haya.

Send a message to learn more

08/09/2024

Isaiah 40:28-31
[28]Hast thou not known? hast thou not heard, that the everlasting God, the LORD, the Creator of the ends of the earth, fainteth not, neither is weary? there is no searching of his understanding.
Je! Wewe hukujua? Hukusikia? Yeye Mungu wa milele, BWANA, Muumba miisho ya dunia, hazimii, wala hachoki; akili zake hazichunguziki.
[29]He giveth power to the faint; and to them that have no might he increaseth strength.
Huwapa nguvu wazimiao, humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo.
[30]Even the youths shall faint and be weary, and the young men shall utterly fall:
Hata vijana watazimia na kuchoka, na wanaume vijana wataanguka;
[31]But they that wait upon the LORD shall renew their strength; they shall mount up with wings as eagles; they shall run, and not be weary; and they shall walk, and not faint.
bali wao wamngojeao BWANA watapata nguvu mpya; watapanda juu kwa mbawa k**a tai; watapiga mbio, wala hawatachoka; watakwenda kwa miguu, wala hawatazimia.

For married ones...
31/08/2024

For married ones...

Address

Mlandiz
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Isaac Mlewa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category