14/12/2024
UPENDO NA MAFARAKANO
Sasa basi patano hili la muda linapokosa amani ndani yake faham kuwa patano hili sio patano tena bali imekuwa ni Sasa basi wewe MKE mume akikikupa talaka ipokee kwa mikono yako miwili na umshukuru Mungu kwa jambo hilo,nawe MUME mke akikuomba talaka mpe wala usimzuie na umshukuru Mungu kwa jambo hilo,iposababu kubwa ya MUNGU kukutenganisha na mtu asiye sahihi kwako,Lazima ngano na makapi zinapokuwa pamoja zinapepetwa na kubaki NGANO SAFI